Recent content by Langlang

  1. L

    Watanzania wanamiminika na kufurika kwenye mikutano ya Rais Samia Kama Wanafunzi Waliokuwa wakimfuata Yesu Kila aendako na kufika

    Kama vile Ulishazaliwa wkt wa Yesu! Uliona mahudhurio! Enzi za Yesu uliona watu wakisombwa na malori kwenda kumuona! Kuna walokufa kw ajali wakienda kumuona! Usitulingashie Yesu na SSH, kamwe...
  2. L

    Askofu Dallu: Kiongozi Ukistaafu ondoka, usijifanye mshauri, Serikali ina mipango yake

    Duh! Hiyo lugha sasa! Aandikacho ndo kilichoko rohoni
  3. L

    Imewezekanaje Harbinder Sethi kushiriki siasa za CCM huku akiwa ni raia wa Kenya?

    Kama vile ww ni mgeni Tz! Au hujui mtiririko wa vipaumbele vyao muhimu au hufatlii mambo yao na CAG! Walixema zile 100bi/- ni za uchaguzi - endlea kufatlia utajua vipaumbela vikuu vinavyobadlika - tartiiib ...nk
  4. L

    GE2025 Watibeli tunaiomba Serikali kumuachia Tundu Lissu Septemba kabla ya Septemba 7

    Kw hiyo, waendlee kuahrisha ahrisha kexi! - mpaka lini?
  5. L

    GE2025 Watibeli tunaiomba Serikali kumuachia Tundu Lissu Septemba kabla ya Septemba 7

    Yye anaomba apelekwe huko juu wakamhukumu harakaharaka, wao wanaahrisha ahrisha, C wangeanza na lile kubwa kwanza!? Anyongwe tujue 1, kama kwl ametenda koxa. C haki itendeke? - hii maahrisho wkt kuna koxa kuu ni njia 2 ya kumtexa, na Dunia inafatlia! Kama vile imefkia "point of no return" -...
  6. L

    GE2025 Kwanini Wafuasi wa Chadema waliohamia Chaumma bado Akili zao zote zinawaza Chadema ila Matumbo yao ndio yameketi Chaumma?

    Meona vym mblmbl vkchkua fom na viongzi wa ile tme "huru" wakikenua meno wkt wanazgawa nkaskia kichefchef. Kna vyama sjui vtatufikia - nadhani wataznguka wakitmia daladala au wataomba kura sehamu 1 wanapoishi wkt CCM ikiomba 100b/-. Ati demokraxia! Naona tjitayarishe, tutacheka xana mwk huu
  7. L

    GE2025 Kwanini Wafuasi wa Chadema waliohamia Chaumma bado Akili zao zote zinawaza Chadema ila Matumbo yao ndio yameketi Chaumma?

    Nixichokielewa ni kw nn kitu kidogo kama kuwa na tume huru ya uchaguzi kinaleta kgugmiz kias hicho - yaani kama vile hawana bongo zenye kufkir! Xaxa kama kuwa na marefa huru tu, inakua taabu, mashindano yatakuaje?! Tz tunyo kazzz ...dah!
  8. L

    Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Mambo mengine yanakufanya ucheke au upate kizungzungu. Yaani hawajui watu wana vipaji! Kwmb wanauza! Kwmb vipaji vina soko! Wao wanawatumia kila mara wanapokwenda kuuza sera zao! Kwamba uchoraji ni kipaji! Na kwmb mchoraji na mwandishi mzr anajikuta ana ajira! Kw mixingi hiyo sasa tutegemee...
  9. L

    PreGE2025 Mbeto : INEC , ZEC Tume huru za Uchaguzi zenye uwazi na haki

    La haulla! Wala hamuonagi haya! Mkt aunde tume ya kusimamia uchaguzi unaomhusu! Kwamba kw kua huko nyuma wapinzani walipata uwakilishi mkubwa uwe kigezo cha kuhalalisha kuendlea kw refa na ma linesmen alowachagua yeye wa mashindano yanayomhusu! What kinda thinking is this!! Naamini waTanganyika...
  10. L

    INEC iliundwa ili kuhakikisha chaguzi zetu zinakuwa za Haki, Huru na zakuaminika

    Kulishana matangopori tu! Inakuaje taabu kuunda Tume huru ya uchaguzi! WaTz wameonyesha kutoviamini hivi vitume vy mfukoni kutoka chama tawala, na wametamka wazi na CDM wamexema waazi NRNE ila bado waroho wa madaraka hawaoni mantiq. Wameshindwa kujifunza xomo doogo toka ule mgogoro wa Simba na...
  11. L

    Swali la Kikatiba na Kisheria: Chadema wanataka Reforms kabla ya Uchaguzi Mkuu, pendekezo au takwa hili wamelifikisha mamlaka ipi ili lifanyiwe kazi?

    Umetoka sayari ipi ndg! Kama vile hujui watawala wanaxema hii ni xerikali ya ccm! Na kila lifanywalo linafanywa na mm! - katoa hiki, kafanya kile, kafanikisha hiki na hiki, kila kitu ni mm! Viongozi wa tume ya uchaguzi wamateuliwa na nani? Katiba ya xaxa ya mwka gani? Asasi mblmbl viongozi wake...
  12. L

    Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi

    Ndo yaliopo kichwani mwao. Lugha aitoayo huyu inaaksi yao wote waloko nyuma ya mama yao. Inaelkea jumuia yao imefanikiwa kutoa seminars kamili za lugha chafu kwani wote wanaposhindwa kujibu hoja wanaishia kwny kamusi ya lugha za aina hio, maskini Tz, tumemkosea nn Mungu!
  13. L

    Tanzania yaongoza EAC wa watu zaidi ya Milioni 54 kutumia Internet. Awamu ya 6 yapongezwa kwa mradi wa Ujenzi wa Minara ya Simu 758

    La machawa labda mnaposujudu. Goti langu hua Nampigiaa Mungu wa mbngni tu. Magoti yetu hayakubali kusujudia mabinadam yanayojikweza
  14. L

    Tanzania yaongoza EAC wa watu zaidi ya Milioni 54 kutumia Internet. Awamu ya 6 yapongezwa kwa mradi wa Ujenzi wa Minara ya Simu 758

    Nite zangu niwe kama ninyi! Jua tu kuwa takwimu zenye kuaminika hutolewa na vyombo vyenye "uwezo na vyenye kuheshimika kimataifa" - sio kila ofisi inazo heshima hizo
Back
Top Bottom