Kosa ni kumlea lea huyo mdogo wako ajishugulishe alee wanae alafu kama wanasoma private toa peleka shule za serikali ishi kulingana na uwezo kwa nini ulazimishe kuishi maisha yasiyo yako kama kumuhifadhi ndugu yako sio kosa ila inapaswa na yeye abebe majukumu kuleana leana ndio maana unaumia...
Yaani kuna watu sijui mkoje unaomba ushauri jambo ambalo liko wazi huyo ni kuachana naye watoto watachagua wanakaa wapi unawahudumia wakiwa wakubwa utawaeleza ukweli,kuhusu mkopo silipi hata 100 mbovu nyumba wauze tu hata yeye si amechangia na biashara kafirisi yeye mimi naenda kuanza upya...
Unalalaje ukweni bro chukua chumba gest ulale nyumbani unaenda kusalimia na kupiga msosi labda kama uchumi hauko sawa unapaswa ulale nyumbani kwenu tu hata kama pakoje,mwanaume unalale ukweni.
Liwe funzo kwako hasa kwa watu tunao amini sana kwenye elimu na kazi za kuajiriwa hapo ndio kuna changamoto hata mtoa mada kama hauta wekeza kwenye ujasiliamali na biashara kupata hiyo pesa gafla ni ngumu sana bora ufungwe tu maana kifungo kinaisha ila kujenga una miaka 60 ni uongo ni uamuzi wa...
Kwanza hongera inaonekana unaishi naye vizuri hana stress mwambie tu afanye mazoezi apunguze misosi mwili upungue,hata ukitafuta mwingine atanenepa tu mtu anabadilika kulingana na umri na hapo hajazaa ataongezeka tu na kitambi lazima.
Kijana hatuoagi kwa huruma.Hauwezi kujenga familia na ukoo wako kwa kumuonea mtu huruma,apambane na hali yake ndicho alicho chagua usije ukajichanganya,swala la kuoa kwa mwanaume ndio kitu muhimu na inapaswa kuwa makini sn baada ya hapo unakua makini kutafuta pesa kwa ajili ya kuhudumua familia...
Unamuona hafai kwa sasa ila utakacho kipata huko mbele baada ya kuondoka huyo dada ndio utajuta what goes around cames around,muoe huyohuyo ndio utaenjoy ndoa ila ukimuacha utakacho kipata itakua vice vesa,bahati huwa haiji mara 2 hasa ndoa na mahusiano mazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.