TTCL ukitaka special namba ni bure , hakuna gharama yeyote ile. kuhusu huduma zao bado wanaendelea na ujenzi wa mawasiliano kwa kasi,Na lengo lao ni kuwafikia watanzania popote walipo nchini na wamesha tandaza Dar, Pwani,
Morogoro, Dodoma, Mbeya, Mwanza,Tanga na Zanzibar N.K jana na leo...