Nauza gari yangu, aina ya Toyota IST,
Cc 1200, yani mafuta kidogo umbali mwingi, Gari ni nzuri sana, nimeitunza vizuri sana, bei naanzia 8.8M, maongezi kidogo yapo.
Gari ipo Mwanza, ni cheki kwa 0762845506
Ninauza nyumba ipo Mwanza maduka 9, maji na umeme vipo, nyumba ipo jirani na barabara kuu ya maduka 9 kiloleli.
Bei naanzia 16 Milioni, maongezi kidogo yapo.
Simu 0717072172.
Hili limewahi kunitokea, lilinitesa sana kwa miaka mingi, nilepona kwa kuanza kuoga maji ya moto, kuepuka pombe, kuacha kula pilipili. Kama unatatizo la vidonda vya tumbo tafuta dawa yake pia, la mwisho na muhimu epuka vyakula vyenye Acid pendelea sana vyakula vyenye asili ya alkaline kama mboga...
Ndugu zangu poleni sana kwa paper tulilopitia la Tax Managemeng officers II, bado tunaendelea kukosa ajira kwa kuteseka na mitihani, hongereni kwa wote mliojiandaa vyema. Mungu atubariki sote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.