Recent content by lailaty88

  1. L

    Kulipa kisasi kumenifikisha hapa

    Habari wapendwa, Poleni na majukumu ya maisha. Wandugu nisiwachoshe mwenzenu kuna mkasa umenipata yaani nashindwa kufanya maamuzi. Stori inaanza hivi, mimi niliolewa na nikajaaliwa kupata watoto watatu wawili ni twins, mume wangu ni mkristo mimi muislamu. Sasa wakati mume wangu ananioa...
  2. L

    Msaada: Mwenye ufahamu shule ya Bernhard Bendel

    Habari zenu wapendwa. Ndugu zangu naomba kusaidiwa kuhusu hyo shule nasikia ipo Morogoro lakini sifahamu ni sehemu gani hapo ilipo, ada bei gani, utaratibu wa kumpeleka mtoto pale kusoma upoje na huduma zake zipoje kitaaluma na kiroho? Mimi watoto wangu ni mapacha wana umri wa miaka minne...
Back
Top Bottom