Pole sana,toka hapo ulipo nenda katembee tembee,ukikutana na mtu mzima aliye kuzidi umri sana na ambae humfahamu kabisa mwelezee mambo yako yote kisha rudi nyumbani.Fanya hivyo mara mbili kwa wiki
Jamii inatarajia kuona maendeleo katika kila eneo hasa kwa vizazi vijavyo.Wazazi wanajitahidi kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora na mahitaji muhimu ya kila siku,hata wale wenye kipato cha chini hawako nyuma kuhakikisha watoto wao hawabaki nyuma kielimu.
Katika ulimwengu huu wa teknojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.