Nimekuwa nikihudhuria Muhimbili kwa takribani mwezi sasa. Ukweli wagonjwa wanachukua muda mrefu sana kumsubiria Daktari afike. Madaktari wengi wanaanza kusikiliza wagonjwa kuanzia SAA TANO asubuhi wakati kuna watu wamefika toka saa kumi na moja asubuhi.
Nashindwa kuelewa wanakuwa wapi alafu ni...
Kama unajua hesabu vizuri 1+1 = 2 n.k fanya mazoezi unayoyajua wewe, kula madawa yote ujuayo ila ukishindwa kuwa na utaratibu wa kula KITAMBI hakiishi unapunguza kila moja unaongeza moja au zaidi , Na jamaa zangu wanakimbia 5-10km kwa wiki mara 3 mpaka 4 tatizo ni moja - BIA unakimbia 10km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.