Sidhani kama ni kweli maana wanasema huyo dada kila msanii anayeenda huko ndio tabia yake kusema kabakwa huyo dada ndio anawanunulia vinywaji na kila kitu,
Tatizo aliingia Marekani kwa fujo sana, akajifanya kila kitu anajua yeye. Mara dream house, Mara designer basi kufanya mashauzi tu yasiyokuwa na maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.