Habar wana jf, msaada tafadhali
Mm ni member mpya kwenye JF, tangu nifungue account ya jf ni kama siku tano hivi zimepita. Nikaambiwa nisubiri admin wa jf approve account yangu, ila juzi nikatumiwa sms kwenye email kuwa ameshapprove, but hadi sasa nashindwa Ku reply popote, hata Jana nilituma...