Mkataba haujafika mwisho lakini mwajiri na hospitali wanakamgogoro kuhusu malipo mzabuni anasema anaidai hospitali nao wanasema kuwa wanamdai mzabuni kwahiyo wafanyakazi Sasa hivi wapo tu wanaenda kazini na wengine wamejishikiza kwa mzabuni wa mda ambae anatoa huduma Sasa hivi kitendo...
Hata kama mkataba haupo hivyo lakini mzabuni tayari anawaambia wafanyakazi kuwa yeye hajalipwa na hospitali na ndomaana nasema hospitali inawigo Moana sana wakuweza kuwasaidia hata kuwasemea tu sio kuwalipa
Mpaka kufikia hapo ninaridhaa na wamefuata taratibu zote lakini wamekosa msaada ndio maana tunatakiwa kupaza sauti wapate haki zao maana mzabuni anasema anaidai hospitali jambo ambalo wafanyakazi haliwahusu
Kuna wafanyakazi wanadai mishahara yao katika kampuni inayotoa huduma ya chakula hospitali ya Mloganzila shilingi 23,887,000.00 na uongozi wa hospita umeombwa msaada mara kadhaa lakini hawajatoa ushirikiano wowote na kitendo hichi kinaichafua hospitali hii kwasababu ni ya Serikali na mzabuni...
Tunaomba msaada kuna wafanyakazi wanadai mzabuni anaelisha chakula hospitali ya Mloganzila shilingi 23,887,000 lakini mpaka sasa hivi wameomba msaada kwa uongozi wa hospitali mara kadhaa lakini hawajapata haki zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.