Kama ni kweli napenda kumpongeza muheshimiwa Diallo kwanza anaonekana ni mjasiliamali kwelikweli na anaona mbali. Ni opportunuty kuanzisha safari hizo za ndege later anawezakufanikiwa kushindana na airline kubwa kama emirates,klm, etc. Lakini ktk ushindani huduma za ndani ya ndege ni muhimu sana...
Naunga mkono kwa huyu Mr chenge nafikiri raisi amuangalie vizuri lakini huyu Engineer tunahitaji uthibitisho zaidi kaka.Balaza sio baya lakini ukiangalia kwa makini bado kuna harufu ya kulindana. Tatizo vijana wenye uchungu na taifa hawataki kujiunga ktk siasa hivyo kumfanya raisi akose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.