kuna binti mmoja tunasoma naye chuo kimoja hapa nchini tumeaza chuo mwaka 2011 sasa tuko mwaka wa tatu nilipo muona tukiwa mwaka wa kwanza nilimpenda sana lakin akaniambia yeye anamtu nakwakua mimi nilikuwa natafta mke nikaachana naye lakin kwa sasa anajitahdi kujenga mahusiano ya karibu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.