Recent content by L780

  1. L

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Mie naunga mkono hoja hata aongoze Mara tano na zaidi hadi Mungu atakapo muita . Kwanza na u haguzi Wa Rais ufutwe gharama za uchaguzi zihamishiwe kwenye miradi ya maendeleo . wabunge kushuka chini huko ndo tuendeleze chaguzi
  2. L

    Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

    Naunga mkono hoja
  3. L

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Chuo chenu ni cha ufundi . Sasa mnasoma elimu gani msiyoweza kuitumia hata kukarabati mota zinazoaribika ilo jamani si la magufuri. Ila akili zenu wanafunzi zimeganda . Ovyooooo! Inabidi mleta mada ufukuzwe chuo kwa sababu hujui unachotakiwa kufanya kwa elimu unayoipata shwaini
  4. L

    Baraza Jipya: Huu Uundwaji wa Baraza Dogo, Je Rais Magufuli Hajakiuka Sheria, Taratibu na Kanuni?

    Una lako jambo . acha figisu figisu . mie naunga mkono hoja asilimia mia . abane tu hamna namna nyingine.
  5. L

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Vyombo vya usalama kamata huyu mtu hana maana . Mwizi haitaji heshim yoyote .
  6. L

    Watanzania tunasifia kupitiliza Magufuli, hakuna jipya lililofanyika mpaka sasa

    Unachoandika hapa ni u honganishi . Anapoigusa bandali amegusa taifa zima . anapojenga barabara dar es salam ameijenga Tanzania . Kujenga nchi lazima uwe na stating point . fikiria kw a mapana .
  7. L

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Alishinda kesi iliyokuwa inamkabi Jacob Zuma wa South Africa.
  8. L

    Mzee Sitta hiyo ndiyo CCM, nenda mahakamani

    Alichakachua katiba kwa kuahidiwa uraisi . Mungu mkubwa kakatwa tena na bado atakatwa hadi kwenye nafasi nyingine . Hapa kazi tu.
  9. L

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Issue ya mabehewa ni feki . tafuta undani utakuja fahamu ilikuwa zengwe tu .
  10. L

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Napingana na wewe ndugu! Ningepewa nafasi ya kukutana na Rais Magufuli ningemtaja Mwakyembe alafu nitoe sababu za kumtaja .
  11. L

    TB JOSHUA: Michael Jackson, na Rais wa Poland na Mkewe, wasingekufa kama wangenisikiliza

    Kuvua viatu ni amri na agizo alilopewa Musa akiwa anataka kusali . katika sehemu takatifu.
  12. L

    TB JOSHUA: Michael Jackson, na Rais wa Poland na Mkewe, wasingekufa kama wangenisikiliza

    Jamani nauliza kesho TB JOSHUA atahubiri wapi mie nataka niende na familia yangu kwa ajili ya maombezi.
  13. L

    Lowassa na mamluki wazungu waliotaka kuhujumu nchi kwa kuingilia mawasiliano ya NEC

    Unamaana gani kwa sababu fomu za kura walizonazo zimesainiwa na mawakala . Labda unajitahidi kuunda uongo kuhadaa wasomaji au?
  14. L

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    We fisiem pilpili usiyo ila yakuwashia nini?Tangu lini ukaitakia mafanikio chadema acha ufigisufigisu.
Back
Top Bottom