Recent content by Kylen stone

  1. Kylen stone

    Nimechaguliwa kwenda Chuo cha Ufundi Arusha, naomba muongozo

    Habari zenu wakuu, Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi. Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
  2. Kylen stone

    Kati ya Mechanical na Electrical Engineering ipi ina uwanja mpana kwa ajira kwa sasa?

    Nilikuwa naomba msaada kati ya Mechanical na electrical engineering ipi nisomehe kwa ngazi ya diploma ambayo Ina uwanja Mpana wa ajira au kujiajiri kwa sasa??
  3. Kylen stone

    Kati ya Mechanical na Electrical Engineering ipi ina uwanja mpana kwa ajira kwa sasa?

    Naombeni msaada nataka mnisaidie kuchambua kati ya Mechanical na electrical engineering ngazi ya diploma kwa sasa ipi inalipa? Na urahisi wa kupata ajira??
Back
Top Bottom