Nimetizima clip ya mkutano mzima nimebaini hakukuwa na sababu ya kuwapiga mabomu wale wanafunzi kwani mkuu wa mkoa alitoka pale vizuri ijapokuwa kuzomewa kulikuwepo sasa iweje tena mabomu yapige kama si kutumia KODI zetu vibaya.Na je suala la aliyefiwa ndo MUUAJI hatafutwi ila ISHU sasa...
Sasa tumejua CCM na SERIKALI yake ni magaidi na wanachokifanya ni kuwanyima watanzania UHURU na UELEWA.Wanataka watunyanyase tusiwe na mtetezi.Hongera lema.
Kama serikali wataendelea kupinga HOTUBA isisomwe basi iachwe ili tuweke REKODI ya kukataa kuburuzwa tukiridhia leo na siku zijazo watakuwa wanawapangia cha kusema bungeni pia.
Mtz yeyote mzalendo na anayeona mbele kuhusu hatma ya nchi yetu sasa tambua huu si muda wa kupumbazwa na harakati za CCM na SERIKALI yake za kutudanganya kwa kupika uogo wa kuwazushia wazalendo wa nchi hii mambo ya uongo.Wanawalenga WAANDISHI WA HABARI,WANAHARAKATI MBALIMBALI na sasa WAMEELEKEA...
Nadhani mkasa huu unaenda sambamba na article waliyoiandika gazeti lake la MTANZANIA kuhusu chuo kilichojengwa Ukerewe alichodai kinaendesha mafunzo ya kigaidi.Yeye akiwa ni MHARIRI MKUU wa gazeti hili.Bila shaka kile alichoandika hakijawapendeza wasomaji hasa walioguswa na habari ile.
Kumetokea kutoelewana kati ya wakulima na wafugaji baada ya mkuu wa wilaya kuwapa wafugaji haki ya eneo hilo na kuwataka wakulima waombe radhi kwa wafugaji.
Pia kwa sasa wananchi ndo wanaelekea kituo cha polisi.
Kuna maandamano yamefanywa na wananchi eneo la Dumila.
Chanzo ni mgogoro kati ya WAKULIMA na WAFUGAJI. Makazi ya wafugaji yamechomwa moto.
Mpambano unaendelea wananchi wamebeba silaha za jadi wanaelekea kituo cha POLISI.
Wananchi wakulima wanamtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro (Joel Bendera)...
KINANA ndiye aliyehusika akishirikiana na marehemu ABUBAKARI MGUMIA aliyekuwa waziri wa maliasili kipindi hicho kuuza LOLIONDO KWA WAARABU wakishirikiana na RAIS wa kipindi hicho mzee MWINYI.Tusidanganyike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.