Recent content by kyarwazi

  1. K

    Taifa Stars itafungwa goli 4-1, Mart Nooij atatupiwa virago

    Full time Tanzania 4 Benin 1 Natamani uwe unaota hivyo inaonekana unaota kinyume cha uhalisia.
  2. K

    Any genius online ... ??

    Jibu ni 36
  3. K

    FIFA kutatua mgogoro wa Uchaguzi TFF wiki ijayo.

    Shirikisho la soka la kimataifa FIFA litamtuma afisa wake anajeshughulikia wanachama bwana Primo Corvaro kuja nchini pamoja na ujumbe wake ili kusikiliza pande zote zinazohusika na mgogoro wa uchaguzi TFF ulioibuka baada ya kuondolewa majina ya baadhi ya wagombea kwenye nafasi mbalimbali za...
  4. K

    Swali;nani rais ajaye wa tff?

    Urais wa TFF haupatikani kwa njia ya guess work za jf ni wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF tu ndio wenye maamuzi ya mwisho tarehe 24/2/2013 .Ubashiri wa aina yeyote hauna maana hata kidogo.
  5. K

    Natafuta Nyumba ya kupanga

    kwa bahati mbaya inaonekana kinyerezi hupajui naomba jaribu kuuliza watu wanaopajua ili upate kujua ni sehemu ya namna gani, maana nimeona umetaja kigamboni sasa ukilinganisha na kinyerezi siku ukijua pakoje wewe utashangaa sana.
  6. K

    Natafuta Nyumba ya kupanga

    kwa bahati mbaya inaonekana kinyerezi hupajui naomba jaribu kuuliza watu wanaopajua ili upate kujua ni sehemu ya namna gani, maana nimeona umetaja kigamboni sasa ukilinganisha na kinyerezi siku ukijua pakoje wewe utashangaa sana.
  7. K

    Natafuta Nyumba ya kupanga

    Wilaya ya ilala , tarafa ya ukonga karibu na tabata segerea, ni mji mpya lakini unakua kwa kasi kimaendeleo.
  8. K

    Natafuta Nyumba ya kupanga

    kinyerezi nyumba bado mpya piga 0772803042
Back
Top Bottom