Walimu wengi hawakuchukuliwa kwenye sensa, wengi ni form 4 na 6 leavers, wengi wao walikuwa na shida na hizo posho tu sio kazi, baada ya posho ya semina wengi wameingia mitini, waliobaki kati ya nyumba 10 wanakwenda 3, zilizobaki wana pika data. Hivyo tatizo kubwa ni kutohesabiwa kwa watu wengi...