Recent content by Kweyunga

  1. K

    PreGE2025 Mzee Wasira: Wananchi wana njaa, hawawezi kula Katiba

    Ila katiba ya CCM inaweza kumpa yeye ulaji, lakini wananchi hawahitaji katiba, serious? Kwa hiyo wananchi hawamuhitaji hata Rais anayetokana na katiba na Rais naye sio chakula🤔
  2. K

    Akili kubwa: Tundu Lissu ameshawahutubia BAWACHA kabla ya Hotuba ya Mgeni rasmi

    Mkuu hii akili ndogo hivi umeiazima wapi? Unaweza kushindwa analysis ndogo tu kama hii walau kujua kuwa wajumbe hawa ni top structure ya uongozi katika chama. Hawa ni watu ambao angalau 90% hawakosi smartphone, hivyo probability ni very likely watakuwa whatsup (at least). Ni kujipumbaza...
  3. K

    Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

    Wewe ndo kikundi hi hicho cha Uvamizi, TAL is a Leader sio jingajinga
  4. K

    Viongozi wa kisiasa hawawezi kwenda mbinguni

    Tunaacha kuwawajibisha watu, tunashinda tunawapigia makofi, tunasimama pembezoni mwa barabara masaa kuwapisha wapite kwa nguvu ya fedha zetu, halafu tunabaki kujifariji kwa maneno ya kiholela na ya kupandikizwa ya ahera na jahanum. Kama kuna jahanum wa kwenda huko wakiwa wa kwanza ni sisi...
  5. K

    CCM with reverse psychology tactics

    The idea behind reverse psychology is that by pushing for the opposite of what you want, the other person will choose to engage in the behavior that you desire. "Kuelekea 2025 - Hakuna CCM yeyote zaidi ya Rais Samia atakayechukua fomu ya Urais wala kutia nia 2025 kwasababu ya utamaduni wetu"
  6. K

    UTABIRI: Tutarajie Kumpata Sheikh Mkuu wa Tanzania Mwanamke Kabla ya 2030

    Hizi dini na tamaduni za watu tulizodandia bila hata kuwa na maarifa nazo tuwaachie wenye nazo tu, twende na ya kwetu. Maana nimegundua watu wengi iwe ni uislam au ukristo tunatunisha misuri hata hatujui tunayotunishia misuri maanake nini kisa tumepewa vijina fulani tu vya kitumwa na kuambiwa...
  7. K

    UTABIRI: Tutarajie Kumpata Sheikh Mkuu wa Tanzania Mwanamke Kabla ya 2030

    Kama ni muislam basi umekariri tu hauna maarifa juu ya u-sheik
  8. K

    Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

    Mnapoongelea value/thamani msiwe na vitabia vya kujilinganisha na umasikini. Nyie ndo mnaenda kuburgain mikataba mnasaini bilioni moja kwa mkataba wa trillion 2 au 3 kisa umeona watanzania hawana hata milioni mia. Tokeni kwenye poverty trauma
  9. K

    Misururu ya magari kwenye misafara ya ziara za viongozi wetu ni ushamba wa kizamani sana!

    Uko sahihi mkuu maana benchmark ya mjinga ni ujinga zaidi.
  10. K

    PreGE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

    Na shetani uwa ana mafunuo kaa chonjo naye uwa anaitwa mungu maana kila mtu ana mungu wake kama Prof wa jalalani alimtambulisha mheshimiwa mungu wake kwa kutetemeka
  11. K

    Nawataka CHADEMA kumuomba radhi Makonda, wakikaidi watakutana na hasira ya Mungu

    Mkuu, kumbuka kuwa na Shetani ana wafuasi na watetezi wengi tu, hivyo usiangaike sana kumshawishi mfuasi wa Shetani ajue jinsi Shetani alivyo mwingia Kaini amuue Abel. Utachukiwa wewe badala ya Shetani
  12. K

    From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

    Lakini Mwenyezi Mungu anabaki kuwa mshindi wetu milele yote, hilo hauwezi kupingana nalo kuwa tuliposhindwa sisi kama bina-Adam dhidi ya ufedhuli wa Goliath au niseme Firauni na wafuasi wake wa giza, Mola akawa mshindi asiyeshindanishwa na visanamu mtu
Back
Top Bottom