Recent content by kwetukushi

  1. kwetukushi

    Utapeli katika kuomba kazi 'data entry'

    same message nami nimeipata leo! kiukweli hapa hamna lolote kama bahati ipo ipo tu
  2. kwetukushi

    Feed the children jamaniii

    Jamaa walitumia email kwa watu wote 20 na msg pia. Bahati mbaya msg yao nilijisahau nikawa nimefuta.
  3. kwetukushi

    Feed the children jamaniii

    walishaita mkuu, interview ilikuwa trh 11, 12 na 14 ndo wanamalizia acee
  4. kwetukushi

    Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

    Nahisi sijachelewa sana kwa hii discussion wadugu, Nachojua katika swala la GPA calculations, hutegemea maamuzi ya chuo husika kuamua kutumia mtindo upi. Mfano, kwa SUA wanatumia system ya HARVARD UNIVERSITY ambayo huhitaji kila marks husika kuingizwa katika formula ili kupata hiyo GPA. wakati...
Back
Top Bottom