Recent content by Kwetu Songwe

  1. Kwetu Songwe

    NEEMA KUU: Bwawa la Nyerere kuzalisha umeme wenye thamani sawa na 50% ya makusanyo ya TRA nchi nzima, (Trillion 12 kwa mwaka)

    Haya ni maono ya waasisi wetu,ambao ndiyo CCM wenyewe,Taifa hili bila CCM tutakwama kwasababu vingine havina mwelekeo wenye maslahi kwa Watanzania
  2. Kwetu Songwe

    Happy birthday Chama Cha Mapinduzi

    Ni CCM pekee yenye maono na nchi hii,mambo yanayojitokeza ni hali ya kawaida kula nchi inapitia.....Sioni Taasisi imara kama CCM,Kuna vyama vina viongozi wasiobadilika kwenye Post zao unajiuliza,hawa watu wana-katiba kweli?
  3. Kwetu Songwe

    Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

    We na chama chako wenye agenda,Mwenezi wenu anajishughulisha na nini? na dhani kila Taasisi i-focus na mambo yake
  4. Kwetu Songwe

    Ila hii issue ya uhaba na bei ya Sukari inawachora kweli kweli!

    Kuanzia leo Sukari bei inaanza kushuka,kwa mujibu wa taarifa ya Waziri Bashe kwenye ukurasa wake wa X
  5. Kwetu Songwe

    TANZIA Mwana-JamiiForums, Thadei Ole Mushi afariki dunia

    Hizo ni propaganda zisizo na maana mkuu
  6. Kwetu Songwe

    Paul Makonda awajibu wanaosema anafanya majukumu yasiyo yake, asema fanya yako nami nafanya yangu

    Nchi yetu bila kuwa na mtu kama Makonda wafanyakazi ni wazembe sana na kumbukeni anakiwakilisha chama kinacho tawala,hivyo kila mfanyakazi lazima ahakikishe anatimiza wajibu wake
  7. Kwetu Songwe

    Karibu sana Mwenezi Paul Makonda ndani ya Songwe

    Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Songwe wanatarajia kumpokea Katibu Mwenezi Taifa ndugu Makonda kuanzia hapo kesho tarehe 06/03-2024. Ukiwa kama mkazi wa Mkoa huu wenye fursa nyingi,unakaribishwa kuhudhuria mikutano ya mwenezi wetu taifa. Karibuni sana,Kidumu chama cha...
  8. Kwetu Songwe

    Miaka 47 ya CCM, Shiriki Uchaguzi kwa Uadilifu na Kazi lendelee

    CCM Chama pekee tumaini kwa Watanzania
Back
Top Bottom