Ila kuna watu wanaandika vitu inaweza sema ata darasa la saba hajapita.....we ungetaka afanye nn km viongoz wa hzo secta wamefanya ujinga miaka yote hyo
Wana jamvi ni matumaini yangu kila mmoja wetu uwa anatamani kusikia raic kasema nn au wazir kafanya nn,haya ndio maisha ya watanzania kwa sasa tangu rais wetu mpya aingie madarakani.
Stor zake ni nzur maskion mwa watu na ndio zenye mvuto,swali langu hii hamu ya kutaka kuliju baraza la...
Hii nchi ya wenye ajira kubwa na familia zao cc walima mahindi na uwele uku kijijini tunaonekana maboya na sakata tu ndani ya taifa letu.....kuleni raha cc achen tulie ila mwisho wa movie ni kwa genezA au kaburn
Kwani zile idara zingine wanalipa hela za likizo? Mi nina mwaka wa tatu zijaripwa nauli yangu licha ya kijaza document zote.....ila sasa huu ubabe fanya kazi mkuu wa mkoa mzee atakuona c kufunga likizo au unataka Gazet likuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.