Recent content by Kwemdimu

  1. K

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Huyu hata kwenye kura za maoni hatumpitishi! Aache tamaa! Mungu amempa kazi ya kuchunga kondoo inamtosha!
  2. K

    GE2020 Paul Makonda achukua fomu ya Ubunge Kigamboni, kupitia CCM

    Mwaka 1995 pale Temeke tulipiga kura na kumchagua msambaa mmoja anaitwa Kihiyo, kumbe jamaa alikua amefoji cheti tena cha VETA, wapinzani walipokwenda mahakamani jamaa akapigwa uchaguzi ukarudiwa 1996 ambapo Augustino Lyatonga Mrema wakati huo akiwa NCCR-MAGEUZI akagombea na kushinda, Temeke...
  3. K

    GE2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

    Mwaka huu vituko vitakua vingi sana kuelekea Oktoba. Hapo zamani nafasi ya ubunge ilikua ni ya kuheshimika sana ndio maana wakapewa jina la mheshimiwa.
  4. K

    GE2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

    Siasa huleta utengano kwani kuna itikadi zinazokinzana! Kama ni mwanamuziki akiingia upande mmoja ajiandae kupoteza wateja wa upande ule! Nawashauri hawa jamaa waachane na siasa waendelee na maisha yao. Kingwendu na wenzake wengi waliposhndwa kila kitu kikapotea
  5. K

    GE2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

    Acheni utani wazee! Master J Mwana FA Harmonize Steve Nyerere nk Kama kuna washauri wao humu ndani wasaidieni hawa jamaa, waambieni siasa kama haipo damuni watapata shida bila sababu ni vema wakaendelea na maisha yao ya muziki!
  6. K

    Bajeti ya Elimu kugomewa na wabunge wa CCM?

    Ada na michango wakusanye wao halafu serikali ndio iwalipe walimu wake!! Aache dhuluma akawalipe walimu wake Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    TANZIA Salum Shamte wa Katani Ltd afariki dunia

    Mzee alikua ni mgonjwa, kwa bahati mbaya akakutana na zahama jingine ambalo hakulitarajia, ukichanganya yote kwa pamoja utajua alikua na wakati mgumu zaidi. Mungu ndiye ajuaye hatima ya kila mmoja, tuishi tukifahamu kuna kuondoka. Tujiweke tayari. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Membe: Sikushangazwa kufukuzwa. Niliendelea kusimamia nia yangu kugombea Urais 2020. Mwenyekiti na Katibu wameratibu mimi kufukuzwa

    Anatoka CCM anakwenda ACT nao watamsimamisha October, obviously CDM hawawezi kukubali kushirikiana na ACT kutokana na kwamba kiongozi wake ni unreliable, hivyo nao wataweka mgombea wao! Kwa upande mwingine CUF itaimarishwa kidogo kisha tunampeleka straika mwingine pale. Hivyo kwa upande wa...
  9. K

    Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

    Wamemuinua kwa kiasi fulani Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

    Watoto waliopata mimba kuendelea na masomo sio tatizo, ila wanaendelea vipi? Je wanarudi katika shule yake ile ile aliyokua akisoma awali au atafutiwe shule nyingine? Leo nilikua nawauliza wanafunzi, je wana mtazamo gani juu ya kuruhusiwa kwa watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo...
  11. K

    Katiba ya Tanzania yazidi kusiginwa , 8 waliojiuzulu udiwani Cuf Tanga na kujiunga na CCM wahudhuria kikao cha bajeti na kulipwa posho

    Mkurugenzi wa Jiji ameshasema, yeye hajaona barua zao hao waliojiuzulu mlitaka afanyaje? Wala chama chao hakijamtaarfu kwamba kimewafukuza uanachama! Kama wamejiuzulu walipaswa wamuandikie barua Mkurugenzi, kwanini chama chao hakijawafukuza mpaka leo? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Mwanamke aliye tsyari kwa ndoa anahitajika

    Sio elimu tu bali elimu inayojitosheleza
  13. K

    Mwanamke aliye tsyari kwa ndoa anahitajika

    Kuwemo humu JF ni dalili kwamba una elimu inayojitosheleza.
  14. K

    Mwanamke aliye tsyari kwa ndoa anahitajika

    Kama una elimu inayojitosheleza karibu hapo tutasaidiana kwenye ujasiriamali
  15. K

    Mwanamke aliye tsyari kwa ndoa anahitajika

    Elimu yngu nina kadigrii kamoja Nimejiajiri Mkristo
Back
Top Bottom