MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI...
Upo sahihi, ila kumbuka kwa Ghadafi yalianza hivi hivi, kidogo kidogo mwisho ukawa mzozo mkubwa, hawa jamaa huwa wanatafuta sababu tu ya kukuvuruga hili si jambo la kupuuza.
Kustaafishwa kabla ya muda husababishwa na kushindwa kusimamia madaraka uliyopewa kama inavopaswa hivo kusababisha kushuka kwa ufanisi tkt taasisi/idara unayoiongoza na kwa mfano wa huyo RPC wa mbeya Haule alionekana kashindwa kusimamia usalama wa Mbeya hivo kukawa na matukio ya ujambazi mengi...
Mzee ruksa ametoa mawazo yake na ni vizuri kuheshimu mawazo ya wazee kama hawa hata kama huyapendi mawazo kwa heshima ya sisi waafrika mzee akikosea au akisema jambo hulipendi unakaa kimya au unapotezea na kuendelea na yale ambayo wewe unaona ni mazuri kwako ukianza kumtusi au kumdharau sisi...
Kwa hiyo mtu akifariki mke/mume hatakiwa kuwa na mume/mke mwingine? Mi kwangu hii sioni kama ni kashfa mke akifa mume yupo huru kuwa na mke mwingine halikadhalika mume akifa mke yupo kuwa huru kuwa na mume mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.