Dukani hawataikubali maana nao walikuwa wanangoja mzembe ajilete wampige, na Mwenye kiwanja nae hatochukua maana anajua kakupiga, dukani watataka wakurudishie milion 2
Na aliechukua kiwanja atataka milion9 kwenda mbele, kifupi we umepigika
Alikuja usiku mwenyewe na kuna folen, ukampa madumu kumi, sasa apo hayo madumu kumi kayabebajeaf ukampa nauliz maana anakaa mbali na mtaa, apoapo amekuja na kanga kweli, au sijaelewa kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.