Hivi viongozi wa Afrika mna akili au matope ya kupenda sifa,
Hao mnaowaita wawekezaji nyie wenyewe ndo mmewapa utajiri, ila kuwapa waafrika wenzenu mnaona uvivu, hivi hizi akili mnazitoa wapi, halafu miaka ya mbele mkifa mnawaacha watoto wa vizazi vyenu na majirani yenu yani waafrika wenzenu...
Kila sehem wapo, Magerage wapo, maduka, karikoo wanaanza kuishika, mitaani wamejaa, kwenye viwanja vya ndege wapo, Mabondo ndo wamewekana kila level, yani humuuzii mchina wa juu bila kuwauzia wachina wa mitaani. Vidispensary wamevijaza kila kona
Hawa wanaongezea dola kupanda maana wanachuma...
Ndege ziliingia irsn lkn, walkuwa wanaonesha jets zikiwa juu ya anga, au myb zilkuwa za muiran,
WaTz tujijenge sisi kama sisi mana hao wote wanatuona sisi manyani tu
Wanajeshi wa rada wafe af ndo limefeli kweli!??, ila sisi wabongo mambumbumbu, ushabiki wa kijinga huu hauna hata manufaa, hao wote wanatudharau wanatuona wajinga
Na ndo maana nasema sisi waafrica kushabikia upande tunakosea, hao Hezbollah wakisukumwa na Iran wanaamin njia pekee ni kuua Wayaudi wote mana hapo ni kwao yani ardhi yao, wayaudi pia wanaamin njia pekee ya kuzuia maafa kwao ni kumaziza ushindani wote mda huu wakati wao wana advantage kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.