Recent content by Kwekajr

  1. Kwekajr

    SoC04 Ili tuweze kujenga Tanzania mpya katika miaka ijayo inabidi serikal ibadali mtazamo hasa katika suala la elimu licha ya mabadiliko mbalimbali

    Ili tuweze kujenga Tanzania mpya katika miaka ijayo inabidi serikali ibadali mtazamo hasa katika suala la elimu licha ya mabadiliko mbalimbali yanayofanywa ili kubadili mtazamo wa vijana ambao ni nguvu ya taifa ikiwemo kuanzisha somo la ubinadamu, Somo hili lifundishe utu, maadili, uzalendo...
  2. Kwekajr

    Kwanini serikali isipunguze idadi ya watu kwenye utoaji wa mikopo ya wakinamama na vijana?

    Habari wapendwa. Hivi kwanini serikali isipunguze idadi ya watu kwenye utoaji wa mikopo ya wakinamama na vijana kutoka watu 5 hadi wa tatu?
Back
Top Bottom