Recent content by kweche

  1. K

    JamiiForums Tanzania Sophia Simba akejeli kampeni ya TAMWA

    hapo fataki ni viongozi wa CCM ambao wanataka kuwarubuni wananchi ili wawape kura huku wakijua kuwa watawageuka baada ya kuchaguliwa na hawajafanya chochote kwa awamu iliyopita. si unajua fataki anavyokuja na lugha laini ili apate anachokihitaji. mara ooooooooo nitakununulia gari, simu ya...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Sophia Simba akejeli kampeni ya TAMWA

    Naomba wasomaji muelewe. Kwa uelewa wangu ni kuwa tangazo la SIDANGANYIKI linalomhusu yule binti mwanafunzi limetolewa na Haki Elimu. kama nimekosea mtanisahihisha. lakini hiyo siyo tatizo. kwa mtazamo wangu ni kuwa huyu SOFIA SIMBA tangazo analolilalamikia ni lile ambalo lilitawala sana...
Back
Top Bottom