Mkandara;
Hata ungelikuwa wewe kwa hali ya mazingira ya TZ kisiasa, si rahisi kuishinda CCM. Mimi uwanasema bila kubadiri katiba ya nchi, CCM itatawala mpaka milele. Viongozi wakuu kuanzia Rais, RC, DC, wanamadaraka makubwa mno, wanaweza kufanya wanalotaka, pia mjue hao ni makada wa chama. Pia...