Muungano wa tanzania nivichekesho nanimuungano wamaajabu sana.
Neno kuungana lina tafsiri nyingi tena za faida bt kwa kuungalia muungano wa tanganyika na znz hapa hapakua na maana hio waasisi wamuungano walikua wana tafsiri zao karume yeye aliutaka muungano kwashindikizo lanyerere nakuhofia...
Kwani kabla yamuungano wa znz wakijiendesha vipi nawakitegemea msaada gani,kutoka wapi.
Kwani wa znz wanafika milioni ngapi? Wa znz kabla ya muungano kulikua na ubaguzi wao kwawao
nakubaguana wa znz ilifikajefikaje.tukitaka tusitake ufyoroto wote huu wamatatizo aliouleta ni nyerere.
Wagawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.