Inawezekana kabisa,lakini ukweli mwingine hata Kiswahili hajui vizuri kama sio hajui kabisa, kajitahidi sana na kawa mwenye bahati sana kufika hapo alipo, upande mwingine namkubali sana kwenye kusimamia miradi, kitu ambacho watanzania wengi hatuwezi,hii tu yaweza fanya nimpigie kura angalau...