Zanzibar , Nyerere ni gaidi la kimataifa . Allah ampe kinachostahili huko aliko. Balaa zote kazileta yeye huku. Maelfu ya watu wamekufa na kuteseka na wanaendelea kuteswa na mzimu wake wa CCM
Askofu unaongea na sikio la kufa?
CCM NA TAASISI ZAKE WAMEKUWA NI MBUZI HATA UWAPIGIE GITARI HAWAWEZI KUUSIKIA MZIKI WOWOTE
HAO NI CANCER NA DAWA YAKE NI KUFANYIWA OPERATION TU
Na kwa nini adui aitumie Zanzibar asiitumie Kenya , Rwanda , Burundi, Uganda, Congo , Malawi, Msumbiji ambako ni rahisi zaidi kuingia kuliko Zanzibar.
Mimi naona kwa vile Nyerere na TANU yake walikuwa hawana uwezo wa kuiongoza Tanganyika. Ili apate kuendelea kuongoza kwa urahisi ilikuwa lazima...