Recent content by Kwamuktadha

  1. K

    Mapokezi ya mgombea urais CCM Kibaigwa-Dodoma

    Bebeni na nyie🤣😅🤣
  2. K

    Zitto Kabwe: Polepole ni mtu aliyechanganyikiwa, apewe dawa, anaropoka tu!

    Naunga mkono hoja. Kuna mgonjwa mwingine yupo magereza😂😂😂
  3. K

    Kwanini watu wanapenda kuzitabiria nchi zao mambo mabaya badala ya mema?

    Ongeza na hii; utabiri unapamba moto kipindi cha uchaguzi. Manabii wanaudhalilisha sana Ukristo🙌🙌
  4. K

    CHADEMA iteni Press Conference, Alikeni Mabalozi na Watanzania ,Muelezee zaidi Hoja ya Polepole kuhusu Mifumo ,na kwanini NRNE!! Msiishie Mitandaoni

    Nilikua nakuona unajielewa kumbe hamna kitu. Hivi uliona list ya wasimamizi wa uchaguzi, sio mliofikiri wako upande wenu? Na unadhani mabalozi wa nchi mnazotaka kualika wanaishi wapi? Una uhakika hawaoni kuwa kuna kakikundi ka drama kanakozusha taharuki kwa kigezo cha mageuzi? Kama unataka...
  5. K

    GE2025 TLS yaomba kukutana na Rais Samia

    CHADEMA mnahangaika sana, tulieni dawa iwaingie si hamtaki mapendano nyie! Kila siku mnatuma mtu mpya aongee maneno hayo hayo, kutoka Polepole, Gwajima, Sugu na sasa Mwabukusi. Tunawazoom tu, hamjasema bado mpaka tutiki tutashuhudia mengi😂😂😂
  6. K

    Jaji Warioba aliwaonya akina Lissu kuhusu No Elections, wakampuuza

    Mi naona wanapoteza muda tu, maneno yao hayatabadilisha lolote. Wangekaa ty pamoja na Gwajima waseme yote wanazohisi ni siri zooote kubwa wanazojua halafu waone kama kama uchaguzi utaahirishwa. Wamebakia kama Mange Kimambi tu, masadist😂😂
  7. K

    Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

    Watakuja kukutukana, wote wana mihemko ya hali ya juu. Shida hata kesi hawafuatilii waone Lisu anavyojidhalilisha
  8. K

    Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

    a.k.a bush lawyer. Mamburula wenzie wanamuaminiaaa! Na kibegi chake cha kuwakosha wazungu kila akienda mahakamani anakigeuza kipigwe picha kimeandikwa nini vile??🤪🤪🤪 (mzee wa mapozi ya ki- Nelson Mandela🤣🤣🤣)
  9. K

    Orodha ya Maadui wa CDM

    Mimi naongeza dalili nyingine ya kuchanganyikiwa; ukimstua muathirika anakukejeli au kukutukana🤣🤣🤣 Utawaona soon waliochanganyikiwa
  10. K

    GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

    Si mmesema Masoud amefungiwa? Mnapenda kujitekenya na kucheka wenyewe.
  11. K

    GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

    Jisemee wewe ndugu yangu, kwanza si mmesusa? Hii thread haiwahusu😁😁😁
  12. K

    2025 World Foreign Direct Investment Report : Tanzania Yarekodi Kiwango Kikubwa Zaidi Cha Uwekezaji wa Nje (FDI),Yashika namba 11 Afrika.

    Kila jambo ni hatua. Kuna nchi zimeendelea kupitia FDI, Vietnam mfano. Nadhani juna umuhimu wachumi kushauri namna nzuri ya kureview na ku allign FDI tunazktaka kuattract (policy) ziendane na vision yetu na sio kukosoa kila jambo.
  13. K

    GE2025 CCM yafanya marekebisho ya Katiba yanayohusisha maamuzi ya Kamati Kuu uteuzi wa wagombea udiwani na ubunge

    Wananchi wa kwenye mtandao? Wsnanchi halisi wanampenda, wanasiasa wenye agenda za kutugawanya ndio wanaoshinda mitandaoni kupiga kelele. OKTOBA TUNATIKI
  14. K

    2025 World Foreign Direct Investment Report : Tanzania Yarekodi Kiwango Kikubwa Zaidi Cha Uwekezaji wa Nje (FDI),Yashika namba 11 Afrika.

    Ukiachana nao kuna wengine hapa wanatafuta maneno ya kuonesha FDI sio issue yani kwa kifupi ma- sadist. Wamejaa kila mahali. Kwa hili mimi nasema Samia mitano tenaaa!
  15. K

    GE2025 Abdul Nondo: Waasisi wetu wangesusia Mapambano ya kuwatoa Wakoloni tungepata Uhuru?

    Waacheni waandamaneeee, wajinga waleee! CCM mbele kwa mbele🎵🎼🎶🎵🎼🎶🎶 Mimi naimba tu lakini🤣🤣🤣
Back
Top Bottom