Poleni sana Ma-ccm kwa pigo kubwa hilo, penye ukweli uongo hujitenga, ni kitu kibaya sana kumsingizia au kumbambikia mtu kosa, kumbuka alivyokaa mahabusu muda wote huo kwa uongo wenu, nawakikishia kuwa mmetenda dhambi, mmemtesa mtu asiye na hatia kwa interest zenu za kisiasa.