Kimsingi anasema kwamba,MO29 serikali batili iliua raia kwa makusudi kabisa ili kufanya majaribio ya nguvu zake dhidi ya Watanzania, na sasa hivi wqmenuia/wamejipanga kufanya mauaji makubwa zaidi ambayo hayajapatq kushuhudiwa popote pale Duniani
Sawa Sawa kabisa tumemsikia na kumuelewa vizuri...
Kwenye hizo ngoma AY ni balaa na flow zake hakuna tena daaah!,yaani kama ambavyo huwa sichoki kumsikiliza juma nature kwenye jirani mtani,kighetto ghetto original na mtulize ya mabaga fresh, inspector kwenye ngangari au gk kwenye sister sister,
Unajua muziki wa bongo flavor niliupenda sana...
Mpaka leo sijajua nini hasa ilikuwa sababu ya zay b na inspector kuzinguana mpaka kufikia zay b kutoa ile remix
Ila nilisikiaga kipindi kile kwamba kuna ngoma ya kujibu mapigo ilirekodiwa ila ikazuiwa kutoka, ndani ya ngoma hiyo alikuwepo Inspector, sister p na dudu baya
Kwani kwa kadiri ya uelewa wako,hii Nchi imeshakuwa na viongozi wa juu(Rais)wangapi kabla ya JPM kuwa Rais?
Je wangapi kati yao walikubali hiyo KATIBA MPYA?
Kwamba unaamini kwa dhati kabisa matatizo ya Taifa hili yatakoma pindi tu KATIBA MPYA ikipatikana?
Na mwisho kabisa,kama mpaka...
Kwahiyo JPM bado anaongoza hii Nchi akiwa mafichoni,si ndio?,
tatizo lenu ninyi ni WAPUMBAVU kama hao wafuasi wa CCM, tofauti ni ninyi bado hamjapata madaraka,
.mlitumika kwa kujua ama kutokujua na WAHUNI kumkwamisha na kumvuruga JPM katika kipindi chake,ajabu hamtaki kuona na kukubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.