Umesema ukweli maana kuna tabia ya kusoma wakati mwingine kwa mkumbo bila kujua unataka kuwa nani hasa pale inapokuja mtu unayamudu masomo mengi. Mfano: Mimi nlipata wazo la kutaka kufanya kazi kama medical officer nkiwa form 2 lakini papo hapo nkawa nataka pia nije kufanya kazi inayohusiana na...
Labda si graduate wa ukweli. Kama ni wa kweli alifikaje huko na alikuwa akifanyaje pepa? Si angedisco na kabla ya kudisco si angefeli sekondari..? Pengine ni GRADUATE WA KWELI LAKINI AMESOMA NAMBA TU ambazo hazihitaji sana maelezo. Ila ni changamoto kweli kwa ma HR
Ni kweli anavyoeleza na ndivyo maisha halisi kwa sasa yalivyo. Academics na maisha halisi ni vitu viwili tofauti, na kutafsiri uwezo wako wa kitaaluma kufanya mambo halisi ndilo la msingi. Waliopo vyuoni sasa ukiwaambia hadithi ya mishahara ya TGS ... za kati ya laki 360, na laki 450 kwa mtu wa...
Waheshimiwa, naomba anaefahamu kiwango cha mshahara kwa wanaoanza kazi huku TACAIDS, JSI/EGPAFF na kama wana benefit nyingine kama usafiri i. e nauli, nyumba nk. Ni muhimu kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.