Recent content by Kuyata

  1. K

    Chapa Chapa: Katibu Mkuu Kiongozi yuko wapi?

    Wewe Mzee humtakii mema katibu mkuu kiongozi, akifungua tu kinywa anatemwa
  2. K

    Rais Magufuli amtumbua Mkurungenzi wa Geita kwa kununua gari la zaidi ya Tsh. Milioni 400

    yeye aliona kuwa na kadi ya ccm ndo amemaliza. Kumbe ukiwa na kadi ya ccm inakubalika tu kukandamiza wapinzani.
  3. K

    Spika Ndugai asema Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mahakama pekee wanaweza kumuambia kuwaondoa Bungeni Wabunge 19 wa Viti Maalum CHADEMA

    Ukiona anarudia rudia kuhusu covid-19, ujue anatafuta huruma. Na bado Tilion 2 hampati na nafsi zitaendelea kuwasuta
  4. K

    Rais Mwinyi: Watu wanadhani kuweka kodi kubwa ndio pato kubwa kwa Serikali, kodi kubwa inapunguza wafanyabiashara

    Huo ndo udakitari wa kusomea kweli kweli, huyu wa huku yeye kudhani ana PHD anadhani ana akili kuliko wote, kejeli, ubabe, dharau, unyama yaani. nami nahamia Zanzibar
  5. K

    Napinga ACT-Wazalendo kushiriki kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) huko Zanzibar

    Utalii mnauharibu wenyewe halafu mnalaumu upinzani, jiondoeni kwenye uongozi kama mnategemea upinzani
  6. K

    Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

    kuna mahali nilisikia anaumwa sana, utumbo unataka kutoka
  7. K

    Wafahamu Mawaziri na Manaibu ‘waliotemwa’ na Rais Magufuli katika Baraza jipya la Mawaziri

    Anatakiwa akalee mtoto, naona hata ubunge alikosa
  8. K

    Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

    hawakuwa na mvuto hao maana hakutakuwa na wapinzani so mbwembwe za kujibu wapinzani hamna. in short hakuna jipya
  9. K

    Serikali yatenga Bilioni 4 kuimarisha miundombinu Jangwani

    Hela iliyotumika hapo mara ya kwanza imeisha, sasa kikoba kingine kufidia hela ya manunuzi ya watu.
  10. K

    Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

    Yes huo ndio utaratibu. CCM hawakutaka wapinzani walijiamini kuwa wataleta maendeleo, leo wameanza hata kutumia njia haramu kuhonga Bawacha ili waende Bungeni, wamegushi nyaraka za chama. Wakitaka wajivue ubunge, wawe wanachama wa kawaida.
  11. K

    Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

    Hao wakiruhusiwa kurudi wataanza kuleta vurugu ndani na kujijenga zaidi, huwezi kuwa na tamaa hadi unafikia hatua ya kufoji nyaraka ukisaidiwa na CCM halafu useme wewe ni Mwana Chadema, Fukuzia mbali hao.
  12. K

    Dharau za Ndugai kwa Watanzania zimepitiliza

    Mzembe mkuu katika nchi ni rais, Rais wa nchi huwezi kuwaacha watu wanabagaza katiba katika level hii. Rais tangu ameapishwa yupo kimya mno. Watueleze ni Mgonjwa au alisha wahi mbele ya haki. nchi inapoteza mwelekeo
Back
Top Bottom