Asante kwa swali zuri. Ikumbukwe kuwa, Kapuya ni mjumbe wa kamati ya kudumu ya Miundo mbinu. Mwanzo, taarifa kutoka ofisini kwake walitoa taarifa kuwa ana safari ya kikamati, lakini kamati hiyo imekanusha rasmi..
Pili, Kapuya ameondoka muda mfupi sana baada ya kesi yake kufunguliwa. Nadhani...
Habari ambazo tayari zimethibitishwa ni kuwa, Mh. Juma Kabuya (mb) ambae ametuhumiwa kwa kosa la kumbaka na kumuambukiza virusi vya ukimwi binti mmoja hapa nchini, ni kuwa mbunge huyo ameondoka nchini kwa kile kinachotajwa kuwa ni safari ya kikazi kwa miezi miwili.
Hii imekuja masaa...
Hofu yangu sio content, mtoa mada nahisi ni product ya shule za kata. Unaandikaje bila vituo huku kukiwa na makosa mengi kiasi hicho? Physics with chemistry bana...
Kwa walio na uwezo mkubwa wa kuelewa mambo watakuwa wameelewa jambo moja. IPO CHUKI INAYOTAWALA EAC KWA SASA. Shirikisho halikatazi diplomatic relationship baina ya members na members au na non members. Nchi yoyote inaweza kuwa na mahusiano ya kidiplomasia na nchi nyingine. Hata hvyo, mahusiano...
Jamani., HIVI RECEIPT ZA SERIKALI UNAPEWA PALE UNAPOLIPA AU UNAPOLIPWA?
Mfano, ninapolipia ada, napewa stakabadhi. Nnapotoa fedha kwa huduma flani nnapewa stakabadhi.. Hii imekaaje tena?
Ubabaishaji huu hautaishia hapo., utakwenda hata kwenye elimu ya juu.. Si ajabu first class ikashushwa had GPA ya 2.5.. Mtu ukipiga 2.5 nawe unakuwa first class...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.