Madava . Watoto wa Mollel wanaosimamia kinu cha NMC Olais, Adamu na Nathan wamekupa unga kiasi gani? halafu Panju nasikia anagawa dagaa , vipi umepita?
Hata comment yako ni kibogoyo, manati, kisu na vile vingene kama ndio vifaa vya kijeshi/kivita basi kila anayetaka kipande cha ardhi ya Tanzania na AJE!
Kuna ukweli kiasi, nyongeza tu ni kwamba Salva pia kanunua hisa nyingi Raia Tanzania. Lengo ni wazi kwamba (1) Akistaafu ikulu kama sio kufukuzwa awe na mahali pa kuandikia mawazo yake ,pili kwasasa gazeti hilo na Raia Mwema ni kama wanauhakika wa nani atateuliwa kuwa mgombea wa urais CCM na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.