Recent content by kungwe

  1. kungwe

    Gharama za TRA zinafanya kumiliki gari Tanzania kuwa kama anasa

    Hizi garama za kuagiza gari zinazotozwa na TRA kuna haja ya kupata maana yake na kwanini zinatozwa. Kwa sisi tusiojua tunaona kama ni wizi kuna kodi hadi ya railway. Ama kuna anajua kwanni zinatozwa au mamlaka husika watusaidie. Inafanya kumiliki gari Tanzania iwe kama anasa, malipo ya TRA...
  2. kungwe

    SoC04 Kuboresha huduma ya Afya Vijijini

    Miaka 63 ya uhuru wa Tanzania kumekua na juhudi mbali mbali kama nchi na wadau mbali mbali kufikisha huduma za afya mijini na vijijini. ikiwa ni pamoja kuongeza idadi ya vituo vya kutolea huduma pia kuongeza idadi ya watumishi wa afya. Juhudi zote hizo za serikali lakini bado kuna maeneo kama...
Back
Top Bottom