Mkuu kufa c mwiko mimi mwenyewe nipo upande wa upande najua kila kitu ndiyo maana nimewalengesha na subili wasifanyie kazi maoni yangu maana mtandao wao nu mrefu hadi wizarani msalimie barafu
Hivi mnafahamu kuwa mishahara ya walimu wa wilaya ya chamwino inachezewa na watu wanavyotaka kuna walimu wanafanyakazi bila mishahara muda mrefu sana wapo wa miezi 10,7 ,1 pia wapo wanao zuwia mala umerudi ila hazina inasoma mshahara umetoka kuna uwizi na uonevu wa kiwango cha juu kabisa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.