Kaka huwezi amini mana hata nyumbani wameniuliza nimerukwa na akili au ni vipi, nimetoka huko juzi tarehe 13 leo imejilazimu niombe wanipigie picha sehemu yenye huo ukame na haijaonekana, niambie nimerukwa na akili kaka nilale kwa amani leo tafadhali
Mkuu nakubaliana vilivyo na hoja yako, ila tuweke kila kitu pembeni tutafakari hili kwa sauti na ukimya; ukiwa kama Baba kwenye ajira ya namna hii, ambayo kiuhalisia hakuna mshahara wa malaki huko au mamilioni, unahisi itakuwa rahisi ujitenge na familia pia? Hiyo moja, pili; ukitoa suala la...
Wakuu habari za nyakati hii, nashukuru kwa mliojitokeza kwenye matangazo yangu ya awali ila kwa leo nina uhitaji na mtu wa kusimamia Ng'ombe mkoani Iringa, kijiji cha Malangali, nyumba ya kuishi ipo tayari na chakula kipo pia sharti tu awe ni mtu na familia yake ili wakifika wafanye makazi ya...
Habarini wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, anahitajika kijana wa kusimamia shughuli za bustani ya mbogamboga hii ni kulima na kumwagilia, mashahara laki moja kwa mwezi, awe na uzoefu, nicheki namba 0653828027
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.