Recent content by Kulwa Mazegenuka

  1. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mgawanyo wa Mali CHADEMA kuendelea Agosti 5, 2026

    Huyu wampige kipapai tu
  2. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Kuna Kila Dalili CHAUMMA Wameanza kumpuuza Thinktank Wao Waliyemrithi Toka kwa "Mwamba"

    Dhambi ya usaliti itawatafuna sana hawa simbilisi
  3. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Naomba tuwaorodheshee viongozi wetu sababu za kusherekea misiba ya makada wa CCM. Zisiporekebishwa sherehe zitazidi sana

    Wao walicheka 29.10.2025 wakati sisi tukilia sasa ni wakati wetu wa kucheka wakati wao wanalia na siku zote anayecheka mwishoni ndiye hucheka zaidi.
  4. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Huyu Ngosha mwenzangu anakera sana basi tu.
  5. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Kumbe na wao huwa wanaumia moyoni wanaposoma komenti za wanaofurahia MwanaCCM akifa! Mbona hawakukumea ile kauli " kifo ni kifo"

    Mimi namtaka Mwigulu Nchemba na wenzake wanaolalamikia watu kufurahia viongozi wa CCM wakifa wajiulize swali moja tu je ni nani amewafikisha Watanzania katika hali hii? Jibu ni kuwa ni CCM na serikali yake ndiyo imewafikisha Watanzania hapa pa kuchukiana kiasi hiki. Watu wamekuwa walitekwa...
  6. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Mkuu Pasco polisi unsowaxungumzia ni haws polisiccm au ni polisi wa nchi gani? Hivi kwa mazingira ya utawala wa Magufuli kuna jambo ambalo la kuinyooshea kidole serikali lingeweza kufanywa na polisi au Mahakama? Kuwa serious basi mkuu.Kuna mchezo mchafu ulifanywa na dola na ofisi ya spika...
  7. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Kuujua ukweli wote utamuweka huru yeye na hata wanachama ambao wana shauku kubwa ya kujua kwa usahihi hasa nini kilitokea na nani abebe lawama, pengine kuna mtu au watu walibebeshwa lawama zisizo zao.
  8. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Tunaposema Shetani hana rafiki muwe mnaelewa, Mwangalieni Tulia Ackson kama Mfano kamili

    Wewe jamaa Mungu anakuona ujue 🤣🤣
  9. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Eti Samia anataka kuacha tabasamu kwa Watanzania. Kwani anaenda wapi?

    Huyo ponjoro mnafiki sana ametuulia watoto wetu ndiyo tabasamu hilo?
  10. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Ujinga huu ndiyo maana huku Kanda ya Ziwa tuliikata CCM kwa nguvu zote.
  11. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia mwananchi aliyefika mahakama kuu kufuatilia kesi ya Lissu

    Hii ni AI mimi nilikuwepo eneo la tukio polisi walipewa amri ya kuwapiga wanachama wa Chadema.
  12. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania Tunataka waliogushi nyaraka kwenye kesi ya Lissu washtakiwe

    Ni maagizo kutoka kwa Rostam Aziz
  13. Kulwa Mazegenuka

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Kesi ya Lissu kuahirishwa hadi Septemba 9, 2025, raia wameanza kuimba 'Rais!…Rais!…. Rais!'

    Huku kanda ya ziwa tutamnyoosha, hatutaki hata kusikia jina lake.
Back
Top Bottom