Ila kuna watu mnazalau sana, mwanaume mwenzio unamfanyia usenge wa namna hivyo, kama ni mim nakutaftia mijuba, ikunyooshe, siku nyingne usirudie. Sasa hapo unataka tukupe mbinu za kukwepa kunywa uji uloukologa mwenyewe.
Na hapo mke wa dogo aliniambia kuwa, (nanukuu), "yaan shem, nimemwambia mdogo wako, siku nyingne asinipeleke tena katka hiyo zahanat". Hapo kabla hata mrs. aliwah kuniambia kuwa yule doctor sio kbsa anamambo ya kisenge.
Huku kwetu kuna zahanat moja, kuna doctor mmoja ashughulika na maswala ya wajawazito, anatabia, ukpeleka mkeo kuanza clinic ya ujauzito, kuna ile baada ya vipimo vya HIV na ki semina kidogo cha mr & mrs kuhusu maendeleo ya ujauzito, anakuamru mwanaume utoke nje, sasa yule doctor anatabia ya...
Kwel bana, yaan siku hiz had page za wachungaj nazo zinapost picha chaf, kuna mchungaj mmoja kapost porn za maana wakat yeye pege yake ilikuwa ya kupost mahubiri tu, wiki nzima anaomba radhi, halaf anafollowers nyomi. Ni aibuu!
Hapo haujanielewa, yaan wale marafiki zangu walioko facebook ndio utakuta wametajwa (tag) kwenye post za ngono. Kwahyo nikifungua tu nazikuta. Halaf na page za animation za ngono
Yaan kwangu ndo tabu tupu, nilikuwa na mazoea ya kufungua facebook mbele ya watoto lakin kwa sasa nimeogopa. Marafik wengi wanaconnectiwa (tag) kwenye post za picha za ngono, mwanzon nilianza ku unfriend na ku unffolow yoyote waliyemtag na picha chaf, nimefanya hivyo lakin bado tu. Sasa kuna...
Kwa ushauri wangu;
Muoe tu huyo bi dada, inaonekana kweli bado anakupenda, kama alifanya jaribio la kutoa hadi ujauzito ina maana kwamba bado anakupenda, kwanza huyo ni mkeo maana ulimuanza kwa kumtoa bikra, doctor aliwaingilia tu kwa jeuri ya pesa. Huyo bi dada kama angelikua hana nia na wew...
Kama utaendekeza hisia, tegemea kuwa mtumwa wa mapenzi, kama angelikua anakuona wew ni wa thaman kwake angelishakutafta. Anakuona wa kazi gan ndo maana na yeye kabunda huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.