Dah niljuwa n mimi tu yatima alokosa mkopo adi sasa. 😔 nashindwa kuelewa kigezo gani wanaanglia hawa jamaa?
1. Me yatima
2. Coz ya science tena engineering
3. Chuo cha serikali
4. Nimesoma shule za serikali.
Ila ad sasa wananiambia tar 4Nov
Sawa inatupasa kushkur kwa kila jambo. Ila sasa kumbuka kuna yatima hawez pata ada wala ela ya MA ssa s bora anyonywe kurudish mkopo kuliko akose elim n kimshahara? Ipi bora kukosa kusoma n usije pata akika y kila mwez au usisome ili wasije kukukata mshahara wako?
Ila kweli yatima pure wanamnyima mkopo na anasoma coz y science chuo cha serikali. Inakuwaje??? Naamni basi sio system inayochgua nani wapewe. Ingekuwa ni system imesetiwa tiali ko inajuwa m2 wa aloweka tasfu n vyeti vya vifo inampa mkopo kma hajakosea kuomba. Ila hii m2 wa tasaf anakosa yatima...
ZINGATIA AYA NDO UTATOBOA:-
1. Msosi kutwa...2000 *2 + 1000 ya chai. Nmekdria 1500 y msosi +500 y maji. Ndo iyo 2000.( NA APA JIANDAE N MAGONJWA BCZ WWE UNAGA BJETI Y MTUNDA... KUBDLI MLO MSOSI VTU KM IVYO)
2.. Mahusiano y kimapenzi usiwe nayo miaka 3 yote
3..Uwe na stationery yako binafsi...
Kichwa cha habari cha husika,
Mimi ni mwanafunzi niliyepata udahili kwenye chuo kimoja cha serikali, kozi ya engineering
Mimi ni yatima kabisa na sina ndugu mwenye kipato cha kunisomesha, tegemeo langu kubwa lilikua bodi ya mikopo ila mpaka sasa batch 2 zote sijapangiwa mkopo licha ya...
Ndo namshangaaa n mimi apa. Yaani watu tumeandikiwa ivyo tar 27. N mimi yatima kabisa sina mzeee wala mama. N silalamiki kiivyo. Cha msingi wanipe boom nitshkuru kwa lolote nitakachopewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.