Recent content by Kuchasoni Kuchawangu

  1. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Ni wazi kujiondoa kwa G55 kuna ajenda ya siri ya kutaka kuyumbusha chama lakini hii nayo inampigia promo Lissu duniani kote

    Wanajiunga na Chauma, Mbowe atatangwa mgombea uraisi kupitia Chauma, baadhi ya viongozi wa kanda, mikoa, wilaya na majimbo wa team Mbowe watahama na nafasi zao kujiunga na Chauma. Ahadi ya chopa 4 kwa ajili ya kampeni na gari kila mkoa kwa ajili ya kampeni.
  2. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    5GLVH5 Sportybet Naiona pesa hapa .
  3. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    5XR94X Sportybet jaribuni hii ukila usisahau fungu la kumi.
  4. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nataka nijilipue na hii nataka ushauri wakuu.
  5. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ilinichukua kama miezi miwili nikatoa pesa kwa taabu sana na kwa kusuguana mno nikafuta na app ya Paripesa mpaka leo
  6. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu unakumbuka issue yangu mpaka nilikuja DM kwako? Hao Paripesa utakuwa unajuana nao wewe tu nafikiri. Kuweka hakuna shida tatizo linakuja unapotaka kutoa hiyo pesa yako.
  7. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Paripesa matapeli
  8. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi tangu tarehe 25 mwezi wa kumi mpaka Leo hakuna pesa
  9. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sahihi mkuu
  10. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu mimi ni mhanga wa Paripesa nimewithdraw mpaka Leo pesa haijafika kwenye laini yangu ya Airtel na kwenye akaunti ya Paripesa imeshatoka. Nidanganye kwa faida ya nani vile!
  11. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Natumia Airtel mkuu. Hata kama mtandao ulikuwa unasumbua siku hiyo ndo ichukue siku 17 leo?
  12. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu naingia mara kwa mara kwenye akaunti yangu hakuna pesa. Siku ya 17 leo kila baada ya masaa 2 nachukungulia hakuna kitu. Ukiwasiliana na huduma kwa wateja unaambiwa wanawasiliana na mfumo wa malipo mpaka Leo hola.
  13. Kuchasoni Kuchawangu

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu waambie wanilipe pesa yangu Paripesa
Back
Top Bottom