Nyashana ulikua unawakuta Mbugani sec ambao watoto wengi wa ile shule walikua wa mabatin uswahilini rufiji na uhuru na wengine watoto wa washashi genge la masamaki. Sema kule vita ilikua sio saana sabab ya kambi ya jeshi
Utemi wao waliufanya miaka ya 2006 hadi miaka ya 2010s baada ya mzee wao kufariki na wao pia walinusurika kuuawa ila mmojawao alishafariki.iliku Ni familia ya watoto wakorofi kishenzi isipokua Hussein tu.ndio alikua mstaarabu wao walikua hawaogopi kitu walikua na mishare mikuki marungu yaan...
Sio kweli buswelu haijawah kuwa shule tishio Mwanza nzima labda maeneo ya huko nyakato tuu ila ukija kuanzia mabatin shule ya Mwanza sec Igogo Nyakabungo Mirongo na Mlimani ndio shule zilizokua zinasumbua saana hata maaskari sabab watoto waengi walikua wa maaskari na wanajeshi kwa hyo walikua...
Mwanza miaka ya 2005-2010s kulikua na vikundi vingi saana manyirizu sahara, watengwa vampare wa pasians pimpili ya nyamanoro tena Athuman ndo alikua chambo mabatini nayo ilijaa vikundi vikiongozwa na watoto wa sakara kulwa na doto Nyakato napo kulikua na makundi Isamilo lilikuwepo black power...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.