Us ametangaza kuingia Hormuz na kuzuia meli zote zinaibgia na kutoka, ina maana Iran hatauza chochote na hatopokea chochote kwa njia ya maji.. ni kama Us anaweka maximum pressure kwa Iran... kwa maoni yangu vita kubwa itakuja ikiwa Us atakaza na huu msimamo.. Ngoja tuone itavyokua.
"Marekani sasa inapata uhalali wa kushambulia" mwanzo alivyoanza kushambulia alipata wapi uhalali? Nani alimpa mamlaka ya kua askari wa dunia? Kazi ya UN ni nini?
Shida kubwa ya nchi hii sio watawala, ni wananchi wasiojielewa na machawa... kama wasemavyo waswahili nguvu ya mamba ni maji... mpo tayari kulamba as* za mama kisa vijisenti...
Tule mtori nyama tutazikuta chini... ila nchi hii ukombozi wa pili upo njiani.. maji na mafuta vitatengana, Mungu...
Vita ya kidini wanayoileta ita backfire hadi uongozi wa juu, wakumbuke ndani ya jeshi la polisi, JWTZ, TISS na bunge kuna watu wa dini zote mbili. Vita hyo ikianza.....
Kisipolipwa kisasi cha kuwaumiza na wao, mauaji ya namna hii yataendelea tena na tena, kwa sasa discussion iwe ni namna gani ya kulipa kisasi na wap zitapatikana silaha, dawa ya moto ni moto, hili halina msamaha.
Ila Bmkubwa ana kiburi cha rohoni, sijui ameishije na Mumewe!! Ana dharau mno, kifupi ameshupaza shingo, sijui anaringia nini kwenye huu ubinadamu!! Kwa kumuangalia usoni tu huoni uzalendo wake kwenye nchi hii, ni kama amewekwa kwa masilahi ya fulani ambao wameapa kumlinda... Mungu amsaidie..
Umetoka kwenye ule uzi mwingine wa kitoto ambao mnakesha kubishana umekuja na huku kubishana tena!? Wenzio wanaweka tafakuri za hoja, weka na wewe zako.
Mtu msomi na mstaarabu anajibishana kwa hoja, evidence na statistics, unasema Iran hana makombora 500k, aya tupe wewe data sahihi.
Dunia...
Mzee anaropoka sana, nahis anazeeka vibaya, hiyo mikwara uchwara
Aliianza kwa Kim wa North Korea, Urusi, baadaye china na sasa Iran, kote amesanda. Tunasubir aingie direct kwenye mchezo wa vita kama anaona ni mtamu
Israel na USA wataleta hasara kubwa pale Irani ila kamwe hawawezi kubadili utawala wa Iran, pia kamwe hawatazuia Iran kumiliki Nyukilia, ni suala la muda tu.
Kwenye vita inayoendelea ukitoa propaganda wote wanaumizana, kwa udogo wa Israel kijografia, hali ya sasa ikiendelea nachele kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.