Recent content by kt the irreplaceable

  1. kt the irreplaceable

    Kinachoendelea Vita ya Iran kimeithibitishia dunia na kuipa uhalali Marekani wa kuidhibiti Iran

    "Marekani sasa inapata uhalali wa kushambulia" mwanzo alivyoanza kushambulia alipata wapi uhalali? Nani alimpa mamlaka ya kua askari wa dunia? Kazi ya UN ni nini?
  2. kt the irreplaceable

    Nimekaa Leo nimemsikiliza mzee Warioba kwa umakini, huyu mzee hafai kabisa!

    Shida kubwa ya nchi hii sio watawala, ni wananchi wasiojielewa na machawa... kama wasemavyo waswahili nguvu ya mamba ni maji... mpo tayari kulamba as* za mama kisa vijisenti... Tule mtori nyama tutazikuta chini... ila nchi hii ukombozi wa pili upo njiani.. maji na mafuta vitatengana, Mungu...
  3. kt the irreplaceable

    PostGE2025 Viongozi wa Kiislam rasmi wawatishia Maisha Maaskofu TEC, wasema wanasubiri maelekezo ili wawashughulikie

    Vita ya kidini wanayoileta ita backfire hadi uongozi wa juu, wakumbuke ndani ya jeshi la polisi, JWTZ, TISS na bunge kuna watu wa dini zote mbili. Vita hyo ikianza.....
  4. kt the irreplaceable

    PostGE2025 Voices from Within: Mauaji ya wananchi Dar, tusiwalaumu Polisi. Je Amri ya kuua Ilitoka kwa muuaji huyu?

    Kisipolipwa kisasi cha kuwaumiza na wao, mauaji ya namna hii yataendelea tena na tena, kwa sasa discussion iwe ni namna gani ya kulipa kisasi na wap zitapatikana silaha, dawa ya moto ni moto, hili halina msamaha.
  5. kt the irreplaceable

    Britanicca: Alhamisi 28/08/2025 nitaleta Uzi ambao sidhani kama Taifa litabaki moja

    Ila Bmkubwa ana kiburi cha rohoni, sijui ameishije na Mumewe!! Ana dharau mno, kifupi ameshupaza shingo, sijui anaringia nini kwenye huu ubinadamu!! Kwa kumuangalia usoni tu huoni uzalendo wake kwenye nchi hii, ni kama amewekwa kwa masilahi ya fulani ambao wameapa kumlinda... Mungu amsaidie..
  6. kt the irreplaceable

    Kuna sababu kubwa za Marekani kutokuingilia vita ya Israel - Iran

    Umetoka kwenye ule uzi mwingine wa kitoto ambao mnakesha kubishana umekuja na huku kubishana tena!? Wenzio wanaweka tafakuri za hoja, weka na wewe zako. Mtu msomi na mstaarabu anajibishana kwa hoja, evidence na statistics, unasema Iran hana makombora 500k, aya tupe wewe data sahihi. Dunia...
  7. kt the irreplaceable

    Trump: Marekani inaweza kumuua Ali Khamenei, ni "easy target" inajua wapi yupo ila haitafanya kwa sasa

    Mzee anaropoka sana, nahis anazeeka vibaya, hiyo mikwara uchwara Aliianza kwa Kim wa North Korea, Urusi, baadaye china na sasa Iran, kote amesanda. Tunasubir aingie direct kwenye mchezo wa vita kama anaona ni mtamu
  8. kt the irreplaceable

    Iran ikivamiwa, je Urusi itakaa kimya? Na je, Urusi ina uwezo wa kuzuia Iran isivamiwe?

    Israel na USA wataleta hasara kubwa pale Irani ila kamwe hawawezi kubadili utawala wa Iran, pia kamwe hawatazuia Iran kumiliki Nyukilia, ni suala la muda tu. Kwenye vita inayoendelea ukitoa propaganda wote wanaumizana, kwa udogo wa Israel kijografia, hali ya sasa ikiendelea nachele kusema...
  9. kt the irreplaceable

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Uzi huu umejaa wapuuzi, hakuna critical analysis, hakuna data wala nini. Kila mtu anajiandikia ili mradi ana bando, upuuzi mtupu…
  10. kt the irreplaceable

    United States and Russia MEET in Saudi Arabia; First Meeting in Years

    Nimependa sana uchambuzi, kwenye minsk agreement ulaya walifanikiwa kuwaongopea Urusi ili wapate mda wa kuiweka sawa Ukraine kijeshi… kumbe vita hii ilipangwa siku nyingi… matarajio yao yalikua kuhakikisha Urusi inaanguka. Ni kweli kwa vikwazo walivyompa na mabilions ya pesa waliomfadhili...
Back
Top Bottom