Recent content by kroo

  1. kroo

    Ni wakati wa kutoa ultimatum kwa watawala, bila Katiba Mpya ya wananchi hakuna uchaguzi

    Ni wapi Katiba imeinyima Tume ya Uchaguzi uhuru?
  2. kroo

    Uchaguzi mkuu ujao tutatumia katiba hii hii. Amini, usiamini

    Unasema Katiba mpya itataka kuwe na Tume Huru, kwani hii ya sasa inasema tume sio huru. Fanya homework kwanza kabla hujaja kuweka vitu vya ukasuku humu ndani. Watu mnamezeshwa uongo na nyie hamtaki kusoma, kwani katiba ni siri?
  3. kroo

    Ni wakati wa kutoa ultimatum kwa watawala, bila Katiba Mpya ya wananchi hakuna uchaguzi

    Hoja nyepesi kwa masuala mazito. Hoja zako zote hazina uhusiano na Uchaguzi.
  4. kroo

    GE2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina upendeleo wa wazi kwa CCM na mgombea wake dhidi ya CHADEMA na Tundu Lissu

    Huna jipya. Tume, CCM na Serikali wameshatukanwa sana na mgombea wenu na nyie vibaraka wa mkoloni. Ila izi ngebe zenu mwisho 28 Oktoba 2020. Akili zitawakaa sawa tu.
  5. kroo

    GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    Enough is Enough lazima Lissu ajue kwamba hii ni nchi sio mbuga ya fisi. Haiwezekani mtu kila akisimama ni matusi tu. Mambo ya kipumbavu sana, unagombea halafu unaitukana Tume? Kwanini anagombea kama hana imani na Tume?Lazima atiwe adabu.
  6. kroo

    GE2020 Umuhimu wa Mawakala wa Wagombea Urais, Ubunge na Udiwani kupatiwa nakala za matokeo ya uchaguzi katika vituo vya kupiga kura

    Elimu iliyoambatana na uchochezi wa chuki dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, sawa rudi kwa huyo aliyekutuma mwambie umeshafanya kazi uliyotumwa.
  7. kroo

    GE2020 Mnyika: Tume ya Taifa ya Uchaguzi inashiriki mchezo wa kuvuruga Uchaguzi

    Kwanza Mnyika anasema amepata habari kutoka kwenye vyanzo vyake ndani ya Tume, unadhani hivyo vyanzo sio makada wa Chadema? Kwa hiyo mimi hapo naweza kusema kwamba Tume ina makada wa Chadema, unadhani nitakuwa nakosea? Je kama yeye ana watu wake na anaona ni sawa wakiwa ndani ya Tume, kwanini...
  8. kroo

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Tundu Lissu amalize tu uchaguzi aende mahakamani akajibu kesi zake, msela ni mfungwa mtarajiwa. Nimesema mfungwa naomba mninukuu vizuri, sio Rais.
  9. kroo

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Mwanasheria asiyetaka kufuata Sheria. Anakuambia anataka katiba mpya sasa kama Maadili tu ya Uchaguzi yanamshinda hiyo katiba mpya ataweza kweli? Ndio yaleyale ya kusema akishinda hatakusanya kodi halafu akimaliza mkutano anachangisha pesa za kampeni yani jamaa wana njaa mpaka kichogoni.
  10. kroo

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Huyu mjamaa hata muonekano wake tu yupo kama mtu mhalifu na matendo yake pia ya kihalifu. Mipombe ya Ulaya imemharibu kichwa.
  11. kroo

    Sheikh Ponda kwanini unakubali kutumiwa vibaya?

    Kwakweli ukisikiliza hiyo video ya Sheikh Ponda ni kama hajui anachokisema. Hivi kwani lazima kuzungumza hata kama jambo hulijui?
  12. kroo

    Ikulu na Tume ya Uchaguzi waagiza magari mapya, huku hospital zikiwa hoi bila PPE wala bajeti. Watu wako busy kusaka madaraka na vyeo

    Sasa hizo Mercedes Benz za zamani mnaweka ilimradi tu muonekane mnahoja? Mufilisi kabisa. Kweli mfa maji haachi kutapatapa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kroo

    Ikulu na Tume ya Uchaguzi waagiza magari mapya, huku hospital zikiwa hoi bila PPE wala bajeti. Watu wako busy kusaka madaraka na vyeo

    Kama Uchaguzi Mkuu upo maandalizi lazima yafanyike. Hizi fitna nyingine hazina kichwa wala miguu, na Tume ikikosa vifaa nyie ndio wa kwanza kujitokeza na kuilaumu Serikali, kweli binadamu hana jema. Endeleeni kujenga chuki maana huo ndio mtaji wenu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom