Selection zmetoka nmechanguliwa saut mwanza kozi ambayo nliichangua kama utani kozi vyuo vngne unachagua koz tatu tu SAS kwa chuo cha saut ni NNE sasa mi nljiandaa kwa hizo tatu kama vyuo vngne kuchoise kuptia hlo nkajkuta nachangua kozi kiutan ambayo siifaham zaid nawao wanchangua hyo hyo...
Samahani wadau
anayefaham hii kozi ya community development anijuze kidogo mana bado npo kwenye Giza Nene je mtu ukisoma hiyo kozi utafanya kazi ipi mim ni mwihitimu wa kidato cha sita 2019 mchepuo wa HGK na nimepata division two ya 11 so natalajia kufanya maombi ya chuo tafadhali anayefaham hyo...
Nimemalza form six na kupata two ya 11 katk masomo ya arts History D geo D kiswhl C nlkuwa napenda kusoma sheria lakn naskia sheria wanachukua hgl na hkl na umri wa miaka 25 , IPI kozi itakayonifaa tofaut na sheria
Tatzo LPO wapi ujinga usilnganshe vtu kjinga sasa hyo HGE ndy KTU gn ktendo cha kupata two kwa A level ni KTU kzur sasa hpo kwny HGK na HGE tofaut n Econimc tu kama hvyo MTU wa HGE unaweza kupga Histry A na Geo A Ecomc F unakuwa na one kama rahs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.