Mhe. Rais uliongeza Pensheni kwa Wastaafu hivi karibuni na wote tulipongeza sana. Mhe. Rais cha kusikitisha sisi Wastaafu tunaopokea pensheni zetu za kila mwezi kwa asilimia 100 kutoka PSSF hatujaongezewa hata senti moja licha ya tamko lako.
Tunakuomba Mhe. Rais na sisi tunaopokea pensheni...
Hongera sana kama mtumishi unapambana lakini mimi siwezi kumkopesha Mwafrika mwenzangu sisi ni watu wa ajabu sana. Mwafrika ukimkopesha ndiyo imekula kwako.
PolePole anasema kuwa bei ya kilo 15 ya gesi ya kupikia kwa Tanzania isingezidi Tshs.10,000(elfu kumi). Kama kweli anasema ukweli basi kwa Serikali inayojali wananchi wake basi ni vema ikapunguza bei ya gesi ya kupikia. Mhe. Rais anasema kuwa tupunguze sana kupikia kuni ambayo nchi yetu...
Mgombea anaheshimika sana Bunda. Amewahi kuwa DC wa Bunda na kwa kweli anapendwa sana Bunda. Kuna Shule ya Sekondari hapo mjini Bunda inaitwa kwa jina lake. Watu wa Bunda watajitokeza kwa wingi sana kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.