Recent content by Koromeo kavu

  1. K

    GE2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

    The United States has sanctioned a Tanzanian official who sparked fear in the gay community by announcing plans to track and punish homosexuals in the East African nation. The U.S. statement Friday said Paul Christian Makonda...
  2. K

    Diaspora ni wazalendo zaidi kuliko wengi walio ndani kigezo WB mkopo

    Always Zito ni opportunist sana anatafuta fedha kam jambazi ni hatari sana huyu
  3. K

    Jeshi la Polisi Wilaya ya Kigoma limezuia mkutano wa hadhara wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe

    Kila kitu Ni Meya na Zito wanatengeneza Ten percent madiwani wengine wamedhulumiwa kwenye mgao sasa hakuna maelewano. meya kala 400 milion na Zito 200 milion wengine wameambulia 5 milion sasa mzozo balaa
  4. K

    Rais Magufuli ni Dikteta anayetoa Ruzuku kwa vyama vya siasa!

    Hivi watanzania tunataka nini maana siwaelewi ina maana hakuna lolote Rais anatenda jema kwa watanzania au kwa kuwa watu mnashinda mitandaoni mnalipwa kuja kuchafua taswira ya nchi?
  5. K

    Kampuni ya uchimbaji dhababu ya Canada, Winshear Gold Corp kuishitaki Serikali ya Tanzania kwa kukiuka mikataba

    Tatizo mnasahau kuwa Leseni zote zilitolewa kwa mujibu wa sheria za Tanzania vivyo hivyo chochote kitafanyika kwa mujibu wa sheria ya Tanzania . Na waende huko wanadhani watashinda imekula kwao hiyo na hakuna ushabiki kwenye hili.
  6. K

    #KaziNaBata Maana yake nini? REPOST

    Zito ni Baba la wazushi Tanzania maana anawaza kuzusha uongo kila kukicha.
  7. K

    Rais aongoza kwa mfano mzuri, awasilisha fomu za tamko la mali, madeni yake

    Kila mwaka viongozi wote wanawasilisha Tamko hilo na sio lazima watangaze,
  8. K

    Picha: Umaskini wa fikra, Billion 13 ukumbi mzuri ofisi za hovyo

    Waache na lichama lao , maana ni mradi wa Mzee Mtei na familia yake mbona ana majengo yake
Back
Top Bottom